-
Mambo ya Walawi 11:2-4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 “Ambia Waisraeli, ‘Hivi ndivyo viumbe vya dunia vyenye munaweza kula:+ 3 Kila munyama mwenye kwato* yenye kupasuka katikati na mwenye mupasuko kamili katika kwato zake na mwenye anacheua anaweza kukuliwa.
4 “‘Lakini hamupaswe kula wanyama hawa wenye wanacheua ao wenye kwato yenye kupasuka katikati: ngamia kwa sababu anacheua lakini hana kwato* yenye kupasuka katikati. Yeye haiko safi kwenu.+
-