Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:33
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 33 Kwa hiyo Musa akawapatia⁠—​wana wa Gadi, wana wa Rubeni,+ na nusu ya kabila la Manase+ mwana wa Yosefu⁠—​ufalme wa Sihoni+ mufalme wa Waamori na ufalme wa Ogu+ mufalme wa Bashani, inchi ya miji yake katika maeneo hayo, na miji ya inchi yenye kuizunguka.

  • Kumbukumbu la Torati 3:12, 13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Wakati huo tulikamata inchi hii: kuanzia Aroeri,+ muji wenye kuwa karibu na Bonde la Arnoni,* na nusu ya eneo lenye milima la Gileadi, na miji yake nimeipatia Warubeni na Wagadi.+ 13 Na nusu ya kabila la Manase+ nimeipatia sehemu yenye kubakia ya Gileadi na eneo lote la Bashani la ufalme wa Ogu. Eneo lote la Argobu, la Bashani, lilijulikana kuwa inchi ya Warefaimu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine