-
Kumbukumbu la Torati 3:12, 13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Wakati huo tulikamata inchi hii: kuanzia Aroeri,+ muji wenye kuwa karibu na Bonde la Arnoni,* na nusu ya eneo lenye milima la Gileadi, na miji yake nimeipatia Warubeni na Wagadi.+ 13 Na nusu ya kabila la Manase+ nimeipatia sehemu yenye kubakia ya Gileadi na eneo lote la Bashani la ufalme wa Ogu. Eneo lote la Argobu, la Bashani, lilijulikana kuwa inchi ya Warefaimu.
-