Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 20:6, 7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Basi Mungu wa kweli akamuambia katika ndoto: “Ninajua kwamba ulifanya vile kwa moyo muzuri, kwa hiyo nilikuzuia usinitendee zambi. Ndiyo sababu sikukuruhusu umuguse. 7 Sasa rudisha bibi ya mwanaume huyo, kwa maana mwanaume huyo ni nabii,+ atamulilia Mungu* kwa ajili yako+ na utaendelea kuishi. Lakini kama haumurudishe, ujue kama hakika utakufa, wewe na watu wote wa nyumba yako.”

  • Matayo 27:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Zaidi ya hayo, wakati alikuwa amekaa kwenye kiti cha hukumu, bibi yake akamutumia ujumbe, na kusema: “Usiingie katika mambo ya mutu huyo mwenye haki, kwa maana niliteseka sana leo katika ndoto kwa sababu yake.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine