-
Mwanzo 20:6, 7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Basi Mungu wa kweli akamuambia katika ndoto: “Ninajua kwamba ulifanya vile kwa moyo muzuri, kwa hiyo nilikuzuia usinitendee zambi. Ndiyo sababu sikukuruhusu umuguse. 7 Sasa rudisha bibi ya mwanaume huyo, kwa maana mwanaume huyo ni nabii,+ atamulilia Mungu* kwa ajili yako+ na utaendelea kuishi. Lakini kama haumurudishe, ujue kama hakika utakufa, wewe na watu wote wa nyumba yako.”
-
-
Matayo 27:19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
19 Zaidi ya hayo, wakati alikuwa amekaa kwenye kiti cha hukumu, bibi yake akamutumia ujumbe, na kusema: “Usiingie katika mambo ya mutu huyo mwenye haki, kwa maana niliteseka sana leo katika ndoto kwa sababu yake.”
-