27Wakati ilifika asubui, wakubwa wote wa makuhani na wazee wa watu wakakusanyika pamoja na kufanya mupango juu ya Yesu ili auawe.+2 Kisha kumufunga, wakamupeleka na kumutia katika mikono ya gavana Pilato.+
10 Lakini, wakubwa wa makuhani na waandishi wakaendelea kusimama na kumushitaki kwa ukali. 11 Kisha Herode pamoja na maaskari wake wakamutendea kwa zarau,+ na Herode akamuchekelea+ kwa kumuvalisha nguo ya muzuri, kisha akamurudisha kwa Pilato.
19 Na nikamuona ule munyama wa pori na wafalme wa dunia na majeshi yao wamekusanyika pamoja ili kupigana vita na ule mwenye kukaa juu ya farasi na jeshi lake.+