Zaburi 49:6, 7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Wale wenye kutegemea mali zao+Na kujisifu kuhusu utajiri wao mwingi,+ 7 Hakuna mutu yeyote kati yao mwenye anaweza hata kidogo kumukomboa ndugu yakeWala kumupatia Mungu bei ya ukombozi kwa ajili yake,+ Mezali 11:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Mwenye kutegemea utajiri wake ataanguka,+Lakini wenye haki watasitawi kama majani.+
6 Wale wenye kutegemea mali zao+Na kujisifu kuhusu utajiri wao mwingi,+ 7 Hakuna mutu yeyote kati yao mwenye anaweza hata kidogo kumukomboa ndugu yakeWala kumupatia Mungu bei ya ukombozi kwa ajili yake,+ Mezali 11:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Mwenye kutegemea utajiri wake ataanguka,+Lakini wenye haki watasitawi kama majani.+