-
Zaburi 10:4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Katika kiburi chake, muovu hafanye uchunguzi wowote;
Mawazo yake yote ni: “Hakuna Mungu.”+
-
-
Waroma 1:21Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
21 Kwa maana hata kama walimujua Mungu, hawakumutukuza yeye kuwa Mungu ao kumushukuru, lakini walikuwa wajinga katika mawazo yao, na mioyo yao yenye haina akili ikakuwa na giza.+
-