Zaburi 20:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Yehova akujibu katika siku ya taabu. Jina la Mungu wa Yakobo likulinde.+ Zaburi 79:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya jina lako lenye utukufu;Utuokoe na usamehe* zambi zetu kwa ajili ya jina lako.+ Mezali 18:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Jina la Yehova ni munara wenye nguvu.+ Mwenye haki anakimbilia ndani na kupata ulinzi.*+
9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya jina lako lenye utukufu;Utuokoe na usamehe* zambi zetu kwa ajili ya jina lako.+