Zaburi 40:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Ee Yehova, usiniime rehema yako. Upendo wako mushikamanifu na kweli yako vinilinde kila wakati.+ Zaburi 61:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Atakaa akiwa mufalme* milele mbele ya Mungu;+Umupatie* upendo wako mushikamanifu na uaminifu, ili vimulinde.+
7 Atakaa akiwa mufalme* milele mbele ya Mungu;+Umupatie* upendo wako mushikamanifu na uaminifu, ili vimulinde.+