Muhubiri 3:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Tena nimeona hili chini ya jua: Mahali pa haki palikuwa uovu, na mahali pa uadilifu* palikuwa uovu.+ Mika 3:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Tafazali musikie jambo hili, ninyi vichwa vya nyumba ya YakoboNa ninyi makamanda wa nyumba ya Israeli,+Wenye kuchukia haki na kupotosha mambo yote yenye kunyooka,+
16 Tena nimeona hili chini ya jua: Mahali pa haki palikuwa uovu, na mahali pa uadilifu* palikuwa uovu.+
9 Tafazali musikie jambo hili, ninyi vichwa vya nyumba ya YakoboNa ninyi makamanda wa nyumba ya Israeli,+Wenye kuchukia haki na kupotosha mambo yote yenye kunyooka,+