-
Yoshua 13:27, 28Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
27 na katika bonde,* Bet-haramu, Bet-nimra,+ Sukoti,+ na Safoni, eneo lenye lilibakia la Mufalme Sihoni wa Heshboni,+ na Yordani ilikuwa mupaka wenye kuanzia upande wa chini wa Bahari ya Kinereti,*+ upande wa mashariki wa Yordani. 28 Huo ndio ulikuwa uriti wa kabila la Gadi kulingana na familia zao, pamoja na miji na makao yake.
-