Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 13:27, 28
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 27 na katika bonde,* Bet-haramu, Bet-nimra,+ Sukoti,+ na Safoni, eneo lenye lilibakia la Mufalme Sihoni wa Heshboni,+ na Yordani ilikuwa mupaka wenye kuanzia upande wa chini wa Bahari ya Kinereti,*+ upande wa mashariki wa Yordani. 28 Huo ndio ulikuwa uriti wa kabila la Gadi kulingana na familia zao, pamoja na miji na makao yake.

  • Zaburi 108:7-9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Mungu amesema katika utakatifu wake:*

      “Nitashangilia, nitatoa Shekemu+ kuwa uriti,

      Na nitapima Bonde* la Sukoti.+

       8 Gileadi+ ni yangu, na Manase ni yangu,

      Na Efraimu ni kofia ya chuma* ya kichwa changu;+

      Yuda ni fimbo yangu ya kamanda.+

       9 Moabu ni beseni yangu ya kunawia.+

      Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+

      Nitapiga vigelegele vya ushindi juu ya Ufilisti.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine