-
Yoshua 13:29-31Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
29 Tena, Musa akapatia nusu ya kabila la Manase uriti, ukakuwa uriti wa nusu ya kabila la Manase kulingana na familia zao.+ 30 Na eneo lao lilianzia Mahanaimu+ na eneo lote la Bashani, eneo lote la Mufalme Ogu wa Bashani, na vijiji vyote vya mahema vya Yairi+ kule Bashani, miji makumi sita (60). 31 Na nusu ya eneo la Gileadi, na Ashtaroti na Edrei,+ miji ya Mufalme Ogu kule Bashani, ilipewa wana wa Makiri+ mwana wa Manase, nusu ya wana wa Makiri kulingana na familia zao.
-