Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 13:29-31
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Tena, Musa akapatia nusu ya kabila la Manase uriti, ukakuwa uriti wa nusu ya kabila la Manase kulingana na familia zao.+ 30 Na eneo lao lilianzia Mahanaimu+ na eneo lote la Bashani, eneo lote la Mufalme Ogu wa Bashani, na vijiji vyote vya mahema vya Yairi+ kule Bashani, miji makumi sita (60). 31 Na nusu ya eneo la Gileadi, na Ashtaroti na Edrei,+ miji ya Mufalme Ogu kule Bashani, ilipewa wana wa Makiri+ mwana wa Manase, nusu ya wana wa Makiri kulingana na familia zao.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine