10 Ni nani atanipeleka katika muji wenye ngome?
Ni nani ataniongoza mupaka Edomu?+
11 Je, haiko wewe, Ee Mungu, mwenye umetukataa,
Mungu wetu, mwenye haende tena na majeshi yetu?+
12 Utusaidie katika taabu yetu,+
Kwa maana wokovu kutoka kwa wanadamu hauna mafaa yoyote.+
13 Kwa musaada wa Mungu tutapata nguvu,+
Na atakanyangia chini wapinzani wetu.+