2 Samweli 10:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Tunapaswa kuwa wenye nguvu na hodari+ kwa ajili ya watu wetu na kwa ajili ya miji ya Mungu wetu, na Yehova atafanya mambo ya muzuri mbele ya macho yake.”+ Zaburi 44:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kwa nguvu zako tutafukuza maadui wetu;+Katika jina lako tutawakanyangia chini wale wenye kusimama juu yetu.+
12 Tunapaswa kuwa wenye nguvu na hodari+ kwa ajili ya watu wetu na kwa ajili ya miji ya Mungu wetu, na Yehova atafanya mambo ya muzuri mbele ya macho yake.”+
5 Kwa nguvu zako tutafukuza maadui wetu;+Katika jina lako tutawakanyangia chini wale wenye kusimama juu yetu.+