Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 5:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Kwa maana hakuna kitu chochote chenye wanasema chenye kinaweza kutumainiwa;

      Ndani yao hamuna kitu chochote isipokuwa tu nia mubaya.

      Koo yao ni kaburi lenye kuwa wazi;

      Wanasifu-sifu kwa ulimi wao.*+

  • Zaburi 28:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Usinikokote pamoja na waovu, pamoja na wale wenye kuzoea kutenda mambo yenye kuumiza,+

      Wale wenye kuongea na mwanadamu mwenzao maneno ya amani wakati uovu uko katika mioyo yao.+

  • Zaburi 55:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Maneno yake ni laini kuliko siagi,+

      Lakini muzozo uko katika moyo wake.

      Maneno yake ni laini kuliko mafuta,

      Lakini ni panga zenye kuchomolewa.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine