Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 45:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Mungu ni kiti chako cha ufalme milele na milele;+

      Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.*+

  • Ezekieli 21:27
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 27 Nitaliharibu, nitaliharibu, nitaliharibu. Na halitakuwa la mutu yeyote mupaka wakati ule mwenye kuwa na haki ya kisheria atakuja,+ na mimi nitamupatia hilo.’+

  • Danieli 7:13, 14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 “Nikaendelea kuona katika maono ya usiku, na angalia! mutu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa anakuja na mawingu ya mbingu; na akapewa ruhusa ya kumukaribia Muzee wa Siku,+ na wakamuleta karibu mbele ya Huyo. 14 Na akapewa utawala,+ heshima,+ na ufalme, ili vikundi vya watu, mataifa, na vikundi vya luga, wote wamutumikie.+ Utawala wake ni utawala wenye unadumu milele wenye hautapitilia mbali, na ufalme wake hautaharibiwa.+

  • Ufunuo 19:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Na kwenye nguo yake ya inje, ndiyo, kwenye paja lake, iko* na jina lenye limeandikwa, Mufalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine