-
Hesabu 31:27Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
27 Ugawe vitu vyenye vinanyanganywa katika sehemu mbili ili maaskari wenye walienda katika vita wapate sehemu moja na watu wengine wote wa mukusanyiko sehemu ingine.+
-
-
1 Samweli 30:23-25Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
23 Lakini Daudi akasema: “Hamupaswe kufanya vile, ndugu zangu, kuhusu vitu vyenye Yehova ametupatia. Alitulinda na kutia katika mukono wetu kikundi cha wanyanganyi chenye kilikuja kutushambulia.+ 24 Ni nani atakubaliana na ninyi katika jambo hili? Fungu la ule mwenye alishuka kuenda katika vita litakuwa sawa na la ule mwenye alikaa pembeni ya mizigo.+ Wote watapata fungu pamoja.”+ 25 Na kuanzia siku hiyo na kuendelea, akafanya jambo hilo kuwa agizo na sheria katika Israeli mupaka leo.
-