Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:27
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 27 Ugawe vitu vyenye vinanyanganywa katika sehemu mbili ili maaskari wenye walienda katika vita wapate sehemu moja na watu wengine wote wa mukusanyiko sehemu ingine.+

  • 1 Samweli 30:23-25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 Lakini Daudi akasema: “Hamupaswe kufanya vile, ndugu zangu, kuhusu vitu vyenye Yehova ametupatia. Alitulinda na kutia katika mukono wetu kikundi cha wanyanganyi chenye kilikuja kutushambulia.+ 24 Ni nani atakubaliana na ninyi katika jambo hili? Fungu la ule mwenye alishuka kuenda katika vita litakuwa sawa na la ule mwenye alikaa pembeni ya mizigo.+ Wote watapata fungu pamoja.”+ 25 Na kuanzia siku hiyo na kuendelea, akafanya jambo hilo kuwa agizo na sheria katika Israeli mupaka leo.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine