Isaya 12:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Angalia! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini na sitaogopa sana;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wanguNa amekuwa wokovu wangu.”+ Isaya 45:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Lakini Israeli ataokolewa na Yehova kwa wokovu wa milele.+ Hamutapatishwa haya wala kufezeheshwa kwa umilele wote.+
2 Angalia! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini na sitaogopa sana;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wanguNa amekuwa wokovu wangu.”+
17 Lakini Israeli ataokolewa na Yehova kwa wokovu wa milele.+ Hamutapatishwa haya wala kufezeheshwa kwa umilele wote.+