Matayo 27:34 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 34 wakamupatia divai yenye kuchanganywa na nyongo* ili akunywe;+ lakini wakati aliionja, akakataa kuikunywa. Marko 15:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Na pale wakajaribu kumupatia divai yenye ilitiwa kileo cha manemane,+ lakini hakuikunywa.
34 wakamupatia divai yenye kuchanganywa na nyongo* ili akunywe;+ lakini wakati aliionja, akakataa kuikunywa.