42 “Aliokoa wengine lakini hawezi kujiokoa mwenyewe! Yeye ni Mufalme wa Israeli;+ ashuke sasa kutoka kwenye muti wa mateso, na sisi tutamuamini. 43 Amemutegemea Mungu; muache sasa Mungu amuokoe kama anapendezwa naye,+ kwa maana alisema, ‘Mimi ni Mwana wa Mungu.’”+