Zaburi 63:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Nimetosheka* na fungu bora lenye kuwa la muzuri kabisa,*Kwa hiyo kinywa changu kitakusifu kwa midomo yenye shangwe.+ Zaburi 104:33 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 33 Nitamuimbia Yehova+ maisha yangu yote;Nitamuimbia Mungu wangu sifa* wakati wote wenye nitakuwa muzima.+
5 Nimetosheka* na fungu bora lenye kuwa la muzuri kabisa,*Kwa hiyo kinywa changu kitakusifu kwa midomo yenye shangwe.+
33 Nitamuimbia Yehova+ maisha yangu yote;Nitamuimbia Mungu wangu sifa* wakati wote wenye nitakuwa muzima.+