16 Kisha kubatizwa, Yesu akapanda mara moja kutoka katika maji; na angalia, mbingu zikafunguka,+ na Yohana akaona roho ya Mungu ikishuka kama njiwa, ikikuja juu ya Yesu.+ 17 Angalia! Sauti ikatoka pia mbinguni,+ na kusema: “Huyu ni Mwana wangu,+ mupendwa, mwenye nimekubali.”+