Maombolezo 2:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Yehova amekataa mazabahu yake;Amekataa patakatifu pake.+ Ametoa kuta za minara yake yenye ngome katika mukono wa adui.+ Wamepandisha sauti yao katika nyumba ya Yehova,+ kama katika siku ya sikukuu.
7 Yehova amekataa mazabahu yake;Amekataa patakatifu pake.+ Ametoa kuta za minara yake yenye ngome katika mukono wa adui.+ Wamepandisha sauti yao katika nyumba ya Yehova,+ kama katika siku ya sikukuu.