-
Zaburi 89:50, 51Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
50 Kumbuka, Ee Yehova, zihaka zenye zilitupwa juu ya watumishi wako;
Namna ninalazimika kuvumilia* zihaka za vikundi vyote vya watu;
51 Namna maadui wako wametupa matusi, Ee Yehova;
Namna wametukana kila hatua ya mutiwa-mafuta wako.
-
-
Isaya 52:5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 “Basi, nifanye nini hapa?” ni vile Yehova anasema.
“Kwa maana watu wangu walikamatwa bure.
-