15 Na waimbaji, wana wa Asafu,+ walikuwa mahali pao kwa amri ya Daudi,+ Asafu,+ Hemani, na Yedutuni+ muonaji wa mufalme; na walinzi wa milango mikubwa walikuwa kwenye milango mikubwa mbalimbali.+ Haikukuwa lazima waache utumishi wao, kwa sababu ndugu zao Walawi walifanya matayarisho kwa ajili yao.