Zaburi 11:5, 6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Yehova anachunguza mwenye haki na pia muovu;+Anachukia* mutu yeyote mwenye kupenda jeuri.+ 6 Atanyeshea waovu mitego;*Moto na kiberiti+ na upepo wenye kuunguza vitakuwa fungu la kikombe chao.
5 Yehova anachunguza mwenye haki na pia muovu;+Anachukia* mutu yeyote mwenye kupenda jeuri.+ 6 Atanyeshea waovu mitego;*Moto na kiberiti+ na upepo wenye kuunguza vitakuwa fungu la kikombe chao.