Yeremia 10:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu. Yeye ndiye Mungu mwenye kuishi+ na Mufalme wa milele.+ Kwa sababu ya kasirani yake kali dunia itatetemeka,+Na hakuna mataifa yenye yatavumilia kemeo lake. Nahumu 1:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Ni nani mwenye anaweza kusimama mbele ya kasirani yake kali?+ Ni nani mwenye anaweza kuvumilia joto la hasira yake?+ Atamwanga kasirani yake kama moto,Na miamba itapasuka vipande-vipande kwa sababu yake.
10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu. Yeye ndiye Mungu mwenye kuishi+ na Mufalme wa milele.+ Kwa sababu ya kasirani yake kali dunia itatetemeka,+Na hakuna mataifa yenye yatavumilia kemeo lake.
6 Ni nani mwenye anaweza kusimama mbele ya kasirani yake kali?+ Ni nani mwenye anaweza kuvumilia joto la hasira yake?+ Atamwanga kasirani yake kama moto,Na miamba itapasuka vipande-vipande kwa sababu yake.