Zaburi 147:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Yehova anainua wapole,+Lakini anatupa chini waovu. Mezali 3:34 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 34 Kwa maana yeye anachekelea wale wenye kuchekelea wengine,+Lakini anaonyesha wapole wema.+ Sefania 2:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Mumutafute Yehova,+ ninyi wote wapole* wa dunia,Wenye kushika amri zake za haki.* Mutafute haki, mutafute upole.* Pengine* mutafichwa katika siku ya kasirani ya Yehova.+
3 Mumutafute Yehova,+ ninyi wote wapole* wa dunia,Wenye kushika amri zake za haki.* Mutafute haki, mutafute upole.* Pengine* mutafichwa katika siku ya kasirani ya Yehova.+