2 Mambo ya Nyakati 32:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Na watu wengi wakamuletea Yehova zawadi kule Yerusalemu na wakamuleta Mufalme Hezekia wa Yuda vitu vya muzuri,+ na akaheshimiwa sana na mataifa yote kisha mambo hayo. Zaburi 89:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Mungu ni mwenye kuogopwa sana katika baraza la* watakatifu;+Yeye ni mukubwa na mwenye kuogopesha sana kwa wote wenye kumuzunguka.+
23 Na watu wengi wakamuletea Yehova zawadi kule Yerusalemu na wakamuleta Mufalme Hezekia wa Yuda vitu vya muzuri,+ na akaheshimiwa sana na mataifa yote kisha mambo hayo.
7 Mungu ni mwenye kuogopwa sana katika baraza la* watakatifu;+Yeye ni mukubwa na mwenye kuogopesha sana kwa wote wenye kumuzunguka.+