Isaya 49:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Lakini Sayuni aliendelea kusema: “Yehova ameniacha,+ na Yehova amenisahau.”+ Isaya 63:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Angalia chini ukiwa mbinguni na uoneUkiwa katika makao yako yenye kuinuliwa ya utakatifu na utukufu.* Iko wapi bidii yako na nguvu zako,Musukosuko wa huruma zako*+ na rehema yako?+ Vimezuiwa visinifikie.
15 Angalia chini ukiwa mbinguni na uoneUkiwa katika makao yako yenye kuinuliwa ya utakatifu na utukufu.* Iko wapi bidii yako na nguvu zako,Musukosuko wa huruma zako*+ na rehema yako?+ Vimezuiwa visinifikie.