Kutoka 6:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 “Kwa hiyo uambie Waisraeli: ‘Mimi ni Yehova, na nitawatosha chini ya mizigo ya Wamisri na kuwaokoa katika utumwa wao,+ na nitawakomboa kwa mukono wenye kunyooshwa* na kwa hukumu kubwa.+ Kumbukumbu la Torati 9:29 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 29 Kwa maana ni watu wako na mali yako mwenyewe,*+ watu wenye ulitosha kwa nguvu zako kubwa na kwa mukono wako wenye kunyooshwa.’+
6 “Kwa hiyo uambie Waisraeli: ‘Mimi ni Yehova, na nitawatosha chini ya mizigo ya Wamisri na kuwaokoa katika utumwa wao,+ na nitawakomboa kwa mukono wenye kunyooshwa* na kwa hukumu kubwa.+
29 Kwa maana ni watu wako na mali yako mwenyewe,*+ watu wenye ulitosha kwa nguvu zako kubwa na kwa mukono wako wenye kunyooshwa.’+