34 Yesu aliambia watu wengi mambo yote hayo kwa kutumia mifano. Kwa kweli, hakukuwa anasema nao bila mufano,+35 ili kutimiza neno lenye lilisemwa kupitia nabii, mwenye alisema: “Nitafungua kinywa changu kwa mifano; nitatangaza mambo yenye yalifichwa tangu kuwekwa musingi.”*+