Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 81:11, 12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Lakini watu wangu hawakusikiliza sauti yangu;

      Israeli hakujitiisha kwangu.+

      12 Kwa hiyo niliwaacha wafuate mioyo yao migumu;

      Walitenda mambo yenye waliona kuwa sawa.*+

  • Yeremia 7:24-26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao;+ tofauti na hilo, walitembea katika mipango yao ya mubaya,* na kwa kichwa-nguvu walifuata moyo wao muovu,+ na wakarudia nyuma, hawakuenda mbele, 25 tangu siku yenye mababu zenu walitoka katika inchi ya Misri mupaka leo hii.+ Basi nikaendelea kutuma kwenu watumishi wangu wote manabii, nikiwatuma kila siku, tena na tena.*+ 26 Lakini walikataa kunisikiliza, na hawakutega sikio lao.+ Tofauti na hilo, walikuwa kichwa-nguvu,* na wakatenda mubaya zaidi kuliko mababu zao!

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine