-
Zaburi 81:11, 12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Lakini watu wangu hawakusikiliza sauti yangu;
Israeli hakujitiisha kwangu.+
-
-
Yeremia 7:24-26Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
24 Lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao;+ tofauti na hilo, walitembea katika mipango yao ya mubaya,* na kwa kichwa-nguvu walifuata moyo wao muovu,+ na wakarudia nyuma, hawakuenda mbele, 25 tangu siku yenye mababu zenu walitoka katika inchi ya Misri mupaka leo hii.+ Basi nikaendelea kutuma kwenu watumishi wangu wote manabii, nikiwatuma kila siku, tena na tena.*+ 26 Lakini walikataa kunisikiliza, na hawakutega sikio lao.+ Tofauti na hilo, walikuwa kichwa-nguvu,* na wakatenda mubaya zaidi kuliko mababu zao!
-