20 Basi nguzo hiyo ikasimama kati ya kambi ya Wamisri na kambi ya Israeli.+ Kwenye upande mumoja, nguzo hiyo ilikuwa wingu lenye giza. Kwenye upande mwingine, nguzo hiyo ilikuwa inaangaza usiku.+ Kwa hiyo kambi hii haikukaribia ile kambi ingine usiku wote.