Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Sasa Yehova alikuwa anaenda mbele yao muchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze katika njia,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awaangazie katika njia, kusudi waweze kusafiri muchana na usiku.+

  • Kutoka 14:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Basi nguzo hiyo ikasimama kati ya kambi ya Wamisri na kambi ya Israeli.+ Kwenye upande mumoja, nguzo hiyo ilikuwa wingu lenye giza. Kwenye upande mwingine, nguzo hiyo ilikuwa inaangaza usiku.+ Kwa hiyo kambi hii haikukaribia ile kambi ingine usiku wote.

  • Kutoka 14:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Wakati wa kesha la asubui,* Yehova akaangalia kambi ya Wamisri kutoka ndani ya ile nguzo ya moto na wingu,+ naye akatia muvurugo katika kambi ya Wamisri.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine