-
Kutoka 16:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Musa akaendelea kusema: “Wakati Yehova atawapatia nyama ya kula mangaribi, na asubui mukate ili mukule na kushiba, mutatambua kwamba Yehova amesikia manunguniko yenu juu yake. Lakini sisi ni nani? Hamutunungunikie sisi, lakini munamunungunikia Yehova.”+
-