-
1 Samweli 16:12, 13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Basi akamuitisha na akamuingiza ndani. Sasa kijana huyo alikuwa mwekundu, mwenye macho ya kupendeza, na mwenye sura ya muzuri.+ Kisha Yehova akasema: “Simama, umutie mafuta, kwa maana huyu ndiye!”+ 13 Kwa hiyo Samweli akakamata ile pembe ya mafuta+ na kumutia mafuta mbele ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kumutia nguvu Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Kisha wakati fulani Samweli akasimama na kuenda zake mupaka Rama.+
-