Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:12, 13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Mufalme Yehoyakini wa Yuda akatoka inje kuenda kwa mufalme wa Babiloni,+ pamoja na mama yake, watumishi wake, wakubwa wake, na watu wenye cheo kwenye makao yake;+ na mufalme wa Babiloni akamukamata mateka katika mwaka wa munane (8) wa utawala wake.+ 13 Kisha akakamata kutoka pale hazina zote za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mufalme.+ Akakata vipande-vipande vyombo vyote vya zahabu vyenye Sulemani mufalme wa Israeli alikuwa ametengeneza katika hekalu la Yehova.+ Jambo hilo lilitokea kama vile Yehova alikuwa ametabiri.

  • Zaburi 74:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Elekeza hatua zako kwenye mabomoko ya kudumu.+

      Adui ameharibu kila kitu katika mahali patakatifu.+

  • Zaburi 74:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Waliunguza patakatifu pako.+

      Walichafua tabenakulo yenye kubeba jina lako, wakaiangusha chini.

  • Maombolezo 1:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Adui ametia mikono yake juu ya hazina zake zote.+

      Kwa maana ameona mataifa yakiingia patakatifu pake,+

      Watu wenye uliamuru wasiingie katika kutaniko lako.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine