16 Na watu wenye manabii hao wanatolea unabii watatupwa katika barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga, bila mutu yeyote wa kuwazika+—wao, bibi zao, watoto wao wanaume, wala watoto wao wanamuke—kwa maana nitamwanga juu yao musiba wenye wanastahili.’+