-
Yeremia 51:35Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
35 ‘Jeuri yenye nilitendewa mimi na mwili wangu ikuje juu ya Babiloni!’ ni vile mukaaji wa Sayuni anasema.+
‘Na damu yangu ikuwe juu ya wakaaji wa Ukaldayo!’ ni vile Yerusalemu anasema.”
-