Zaburi 77:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Uliongoza watu wako kama vile kundi,+Chini ya uangalizi* wa Musa na Haruni.+ Isaya 40:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Atatunza* kundi lake kama muchungaji.+ Atakusanya wana-kondoo kwa mukono wake,Na atawabeba kwenye kifua chake. Atawaongoza kwa upole wale wenye kunyonyesha vitoto vyao.+ Yeremia 31:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Musikie neno la Yehova, ninyi mataifa,Na mulitangaze kati ya visiwa vyenye kuwa mbali:+ “Ule mwenye alitawanya Israeli atamukusanya pamoja. Atamuangalia kama vile muchungaji anafanyia kundi lake.+ Ezekieli 34:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Nitatunza kondoo wangu kama vile muchungaji mwenye amepata kondoo wake wenye walisambaa na anawakulisha.+ Nitawakomboa katika maeneo yote kwenye walisambaa katika siku ya mawingu na giza nzito.+ 1 Petro 2:25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 25 Kwa maana mulikuwa kama kondoo wenye kupotea njia,+ lakini sasa mumerudia kwa muchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.*
11 Atatunza* kundi lake kama muchungaji.+ Atakusanya wana-kondoo kwa mukono wake,Na atawabeba kwenye kifua chake. Atawaongoza kwa upole wale wenye kunyonyesha vitoto vyao.+
10 Musikie neno la Yehova, ninyi mataifa,Na mulitangaze kati ya visiwa vyenye kuwa mbali:+ “Ule mwenye alitawanya Israeli atamukusanya pamoja. Atamuangalia kama vile muchungaji anafanyia kundi lake.+
12 Nitatunza kondoo wangu kama vile muchungaji mwenye amepata kondoo wake wenye walisambaa na anawakulisha.+ Nitawakomboa katika maeneo yote kwenye walisambaa katika siku ya mawingu na giza nzito.+
25 Kwa maana mulikuwa kama kondoo wenye kupotea njia,+ lakini sasa mumerudia kwa muchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.*