Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 77:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Uliongoza watu wako kama vile kundi,+

      Chini ya uangalizi* wa Musa na Haruni.+

  • Isaya 40:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Atatunza* kundi lake kama muchungaji.+

      Atakusanya wana-kondoo kwa mukono wake,

      Na atawabeba kwenye kifua chake.

      Atawaongoza kwa upole wale wenye kunyonyesha vitoto vyao.+

  • Yeremia 31:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Musikie neno la Yehova, ninyi mataifa,

      Na mulitangaze kati ya visiwa vyenye kuwa mbali:+

      “Ule mwenye alitawanya Israeli atamukusanya pamoja.

      Atamuangalia kama vile muchungaji anafanyia kundi lake.+

  • Ezekieli 34:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Nitatunza kondoo wangu kama vile muchungaji mwenye amepata kondoo wake wenye walisambaa na anawakulisha.+ Nitawakomboa katika maeneo yote kwenye walisambaa katika siku ya mawingu na giza nzito.+

  • 1 Petro 2:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Kwa maana mulikuwa kama kondoo wenye kupotea njia,+ lakini sasa mumerudia kwa muchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine