-
Zaburi 44:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Unatufanya kuwa kitu cha haya kwa majirani wetu,
Kitu cha kuzihakiwa na kuchekelewa na wale wote wenye kutuzunguka pande zote.
-
-
Zaburi 79:4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Tumekuwa kitu cha kulaumiwa na majirani wetu;+
Wale wenye kutuzunguka wanatuzihaki na kutuchekelea.
-