Zaburi 44:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Kwa mukono wako ulifukuza mataifa+Na ukawafanya mababu zetu waishi kule.+ Uliponda-ponda mataifa na kuyafukuza.+ Zaburi 78:55 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 55 Alifukuza mataifa kutoka mbele yao;+Akawagawia uriti kwa kamba ya kupimia;+Alifanya makabila ya Israeli yakae katika makao yao.+ Yeremia 2:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Nilikupanda kama muzabibu muzuri sana mwekundu,+ wote ukiwa mbegu safi;Basi namna gani umebadilika na kuwa machipukizi yenye kuharibika ya muzabibu wa kigeni mbele yangu?’+
2 Kwa mukono wako ulifukuza mataifa+Na ukawafanya mababu zetu waishi kule.+ Uliponda-ponda mataifa na kuyafukuza.+
55 Alifukuza mataifa kutoka mbele yao;+Akawagawia uriti kwa kamba ya kupimia;+Alifanya makabila ya Israeli yakae katika makao yao.+
21 Nilikupanda kama muzabibu muzuri sana mwekundu,+ wote ukiwa mbegu safi;Basi namna gani umebadilika na kuwa machipukizi yenye kuharibika ya muzabibu wa kigeni mbele yangu?’+