18 Siku hiyo Yehova akafanya agano pamoja na Abramu,+ na kusema: “Nitapatia uzao wako* inchi hii,+ kutoka muto wa Misri mupaka ule muto mukubwa, muto Efrati:+
31 “Nitaweka mupaka wako kuanzia Bahari Nyekundu kufikia bahari ya Wafilisti na kuanzia jangwa kufikia ule Muto;*+ kwa maana nitatia wakaaji wa inchi hiyo katika mukono wako, na utawafukuza watoke mbele yako.+
21 Sulemani alitawala falme zote kuanzia kwenye Muto*+ mupaka kwenye inchi ya Wafilisti na kufikia kwenye mupaka wa Misri. Walimuletea Sulemani ushuru na kumutumikia siku zote za maisha yake.+