Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Siku hiyo Yehova akafanya agano pamoja na Abramu,+ na kusema: “Nitapatia uzao wako* inchi hii,+ kutoka muto wa Misri mupaka ule muto mukubwa, muto Efrati:+

  • Kutoka 23:31
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 31 “Nitaweka mupaka wako kuanzia Bahari Nyekundu kufikia bahari ya Wafilisti na kuanzia jangwa kufikia ule Muto;*+ kwa maana nitatia wakaaji wa inchi hiyo katika mukono wako, na utawafukuza watoke mbele yako.+

  • 1 Wafalme 4:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Sulemani alitawala falme zote kuanzia kwenye Muto*+ mupaka kwenye inchi ya Wafilisti na kufikia kwenye mupaka wa Misri. Walimuletea Sulemani ushuru na kumutumikia siku zote za maisha yake.+

  • Zaburi 72:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  8 Atakuwa na raia* kutoka bahari mupaka bahari

      Na kutoka ule Muto* mupaka kwenye miisho ya dunia.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine