-
Yeremia 52:12, 13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Katika mwezi wa tano (5), katika siku ya kumi (10) ya mwezi huo, ni kusema, katika mwaka wa kumi na kenda (19) wa Mufalme Nebukadneza* mufalme wa Babiloni, Nebuzaradani mukubwa wa walinzi, mwenye alikuwa mutumishi wa mufalme wa Babiloni, akaingia ndani ya Yerusalemu.+ 13 Akateketeza kwa moto nyumba ya Yehova,+ nyumba ya mufalme, na nyumba zote za Yerusalemu; akateketeza pia kwa moto kila nyumba kubwa.
-