-
Mambo ya Walawi 23:23, 24Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
23 Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumuambia: 24 “Waambie Waisraeli, ‘Katika mwezi wa saba (7), siku ya kwanza ya mwezi huo, mutakuwa na pumuziko kamili, ukumbusho wenye utatangazwa kwa kupiga tarumbeta,+ mukusanyiko mutakatifu.
-