13 Basi Wamisri wakaweka Waisraeli katika utumwa mukali.+ 14 Wakafanya maisha yao kuwa machungu kwa kazi ya nguvu, kadiri waliendelea kufanya kazi na saruji ya udongo na matofali na kila namna ya kazi ya utumwa katika mashamba. Ndiyo, waliwatesa sana katika hali za nguvu za kila namna ya utumwa.+