-
Kutoka 20:2-5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 “Mimi ni Yehova Mungu wako, mwenye alikutosha katika inchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.+ 3 Haupaswe kuwa na miungu mingine isipokuwa mimi.*+
4 “Haupaswe kujifanyia sanamu ya kuchongwa wala umbo* ya kitu fulani chenye kuwa juu mbinguni wala chenye kuwa hapa chini juu ya dunia wala chenye kuwa ndani ya maji chini ya dunia.+ 5 Haupaswe kuviinamia wala kushawishiwa kuvitumikia,+ kwa sababu mimi, Yehova Mungu wako, ni Mungu mwenye anataka watu washikamane na yeye tu,+ mwenye analeta azabu juu ya wana kwa sababu ya kosa la baba zao, juu ya kizazi cha tatu (3) na juu ya kizazi cha ine (4) cha wale wenye kunichukia,
-