Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:2-5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 “Mimi ni Yehova Mungu wako, mwenye alikutosha katika inchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.+ 3 Haupaswe kuwa na miungu mingine isipokuwa mimi.*+

      4 “Haupaswe kujifanyia sanamu ya kuchongwa wala umbo* ya kitu fulani chenye kuwa juu mbinguni wala chenye kuwa hapa chini juu ya dunia wala chenye kuwa ndani ya maji chini ya dunia.+ 5 Haupaswe kuviinamia wala kushawishiwa kuvitumikia,+ kwa sababu mimi, Yehova Mungu wako, ni Mungu mwenye anataka watu washikamane na yeye tu,+ mwenye analeta azabu juu ya wana kwa sababu ya kosa la baba zao, juu ya kizazi cha tatu (3) na juu ya kizazi cha ine (4) cha wale wenye kunichukia,

  • Kumbukumbu la Torati 6:13, 14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Unapaswa kumuogopa Yehova Mungu wako,+ na unapaswa kumutumikia,+ na unapaswa kuapa kwa jina lake.+ 14 Hamupaswe kufuata miungu mingine, miungu yoyote ya vikundi vya watu vyenye kuwazunguka pande zote,+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine