Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:9, 10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Adui alisema, ‘Nitafuatilia! Nitafikia!

      Nitagawanya vitu vyenye vinachukuliwa katika vita mupaka nitosheke!*

      Nitachomoa upanga wangu! Mukono wangu utawanyenyekeza!’+

      10 Ulipuliza kwa pumuzi yako, bahari ikawafunika;+

      Walizama kama risasi katika maji makubwa.

  • 1 Samweli 2:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Musiendelee kuzungumuza kwa kiburi;

      Neno lolote la majivuno lisitoke katika kinywa chenu,

      Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+

      Na anapima matendo kwa njia ya haki.

  • Ezekieli 28:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 “Mwana wa binadamu, ambia kiongozi wa Tiro, ‘Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi:

      “Kwa sababu moyo wako umekuwa na majivuno,+ unaendelea kusema, ‘Mimi ni mungu.

      Ninakaa kwenye kiti cha ufalme cha mungu katika moyo wa bahari.’+

      Lakini wewe ni mwanadamu tu, hauko mungu,

      Hata kama katika moyo wako unajiona kuwa mungu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine