-
1 Samweli 2:3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Musiendelee kuzungumuza kwa kiburi;
Neno lolote la majivuno lisitoke katika kinywa chenu,
Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+
Na anapima matendo kwa njia ya haki.
-
-
Ezekieli 28:2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 “Mwana wa binadamu, ambia kiongozi wa Tiro, ‘Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi:
“Kwa sababu moyo wako umekuwa na majivuno,+ unaendelea kusema, ‘Mimi ni mungu.
Ninakaa kwenye kiti cha ufalme cha mungu katika moyo wa bahari.’+
Lakini wewe ni mwanadamu tu, hauko mungu,
Hata kama katika moyo wako unajiona kuwa mungu.
-