17 Yehova, Mukombozi wako, Mutakatifu wa Israeli,+ anasema hivi:
“Mimi, Yehova, niko Mungu wako,
Mwenye anakufundisha ili ujipatie faida,+
Mwenye anakuongoza katika njia yenye unapaswa kutembea ndani yake.+
18 Kama tu ungesikiliza amri zangu!+
Basi amani yako ingekuwa kama vile muto+
Na haki yako kama mawimbi ya bahari.+