13 Alimupitisha juu ya sehemu za juu za dunia,+
Na hivyo akakula mazao ya mashamba.+
Alimukulisha asali kutoka katika mwamba
Na mafuta kutoka katika jiwe ngumu,
14 Siagi ya mifugo na maziwa ya kundi,
Pamoja na kondoo wazuri sana,
Na kondoo-dume wa Bashani, na mbuzi-dume,
Pamoja na ngano ya muzuri sana;+
Na ulikunywa divai kutoka katika damu ya zabibu.