25 Tena, Daudi na wakubwa wa vikundi vya utumishi waliweka pembeni wana fulani wa Asafu, Hemani, na Yedutuni+ ili watoe unabii wakiwa na vinubi, vyombo vya kamba,+ na matoazi.+ Haya ndiyo yalikuwa majina ya wanaume wenye vyeo wenye waliwekwa kwenye utumishi huo,